Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Wednesday, October 19, 2022

WAJUMBE WA BARAZA LA UONGOZI W CHUO WATEMBELEA BWENI LA WAVULANA IJA

Habari Picha


Muonekano wa mbele wa bweni la wavulana lenye uwezo wa kulaza wanafunzi 360 

Mwenyekiti wa Baraza la Uongozi wa Chuo na Jaji wa Mahakama ya Rufani, Dr.  Gerald Ndika (Mwenye Tai Nyekundu) akiwa pamoja na wajumbe wa Baraza la Uongozi na wajumbe wa menejimenti ya Ija walipotembela Bweni la wavulana hivi karibuni IJA


Wajumbe wa Baraza la Uongozi wa Chuo na Wajumbe wa Menejimenti wakiwa kwenye ziara hiyo




         Wajumbe wa Baraza la Uongozi wa Chuo na Wajumbe wa Menejimenti wakipita kwenye maeneo                                             mbalimbali ya jengo hilo wakati wa ziara 

 Wajumbe wa Baraza la Uongozi wa Chuo na Wajumbe wa Menejimenti wakipita kwenye maeneo                                             mbalimbali ya jengo hilo wakati wa ziara 

 Wajumbe wa Baraza la Uongozi wa Chuo na Wajumbe wa Menejimenti wakipita kwenye maeneo                                             mbalimbali ya jengo hilo wakati wa ziara 
 Wajumbe wa Baraza la Uongozi wa Chuo na Wajumbe wa Menejimenti wakipita kwenye maeneo                                             mbalimbali ya jengo hilo wakati wa ziara 
 

0 comments:

Post a Comment